NAIBU KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI NA WADAU WA MAFUTA NA GESI NCHINI WAZUNGUMZIA FURSA ZILIZOPO KATIKA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA HOIMA UGANDA- TANGA TANZANIA

Pix 04

Mkurugenzi wa mifuko ya Uwezeshaji toka Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bw. Edwin Chrissant akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) fursa zilizopo za uwekezaji kupitia mifuko ya hifadhi, katikati ni Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Taasisi watoa huduma ya mafuta na gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Dkt. Juliana Pallangyo.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo
Pix 03
Mkurugenzi wa Taasisi ya sekta binafsi Dkt. Godfrey Simbeye akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu fursa mbalimbali zilizopo katika ujenzi wa bomba la mafuta ghafi toka Tanzania hadi Uganda, kulia ni Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Taasisi watoa huduma ya mafuta na gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Dkt. Juliana Pallangyo.
Pix 02
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Dkt. Juliana Pallangyo (kushoto) akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani)  fursa mbalimbali zilizopo katika ujenzi wa bomba la mafuta ghafi toka Tanzania hadi Uganda, katikati ni Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Taasisi watoa huduma ya mafuta na gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim na kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya sekta binafsi Dkt. Godfrey Simbeye.
Pix 01
Mwanzilishi na Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya watoa huduma ya mafuta na gesi nchini Abdulsamad Abdulrahim akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu fursa mbalimbali zilizopo katika ujenzi wa bomba la mafuta ghafi toka Tanzania hadi Uganda, kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya sekta binafsi Dkt. Godfrey Simbeye na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Juliana Pallangyo.

Maoni