WANAWAKE NCHINI CHECHINYA WAKATAZWA KUTUMIA MTANDAO WA WHAT'S UP.



Rais wa nchi ya Chechnya Ramzan Kadyrov amewakataza wanawake wa nchi hiyo baada tukio la afisa wa polisi hapo juu siku ya harusi yake binti kukataa kuolewa naye nakusimama pembeni.Bwana harusi Nazhud Guchgov miaka 47 na bi harusi Kheda Goylabiyea miaka 17.Baada ya picha hizo kusambaa kwenye mtandao wa what's up na afisa huyo kahaibika.



Rais wa taifa hilo Ramzan Kadyrov.


Maoni