Waziri wa Afya Rashid Serif Suleiman akimkaribisha Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
kuzungumza na wanachuo na wananchi waliohudhuria katika Mahfali ya
Kwanza ya Chuo cha Madaktari Zanzibar yaliyofanyika leo katika viwanja
vya Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afya Mbweni nje ya Mji wa Unguja,
jumla ya wanafunzi 35 wamehitimu mafunzo na kupewa shahada zao leo.
|
Maoni
Chapisha Maoni