MREMBO AMBER LULU ASEMA PICHA ZA UTUPU NDIZO ZINAZOMLIPA



Akiongea kwenye FNL ya EATV, Amber Lulu amesema yeye ni model hivyo picha hizo huwa zinakuwa za kazi ambazo huwa yupo assigned, ambayo pia ndio inayomlipa.

"Mimi ni model unajua, sasa kama model kuna picha kama zile napiga, zinakuwa na kazi, na sio napiga tu, ukiona nimepiga vile jua kuna kazi ambayo ipo na mtaijua", alisema Amber Lulu.


Mwanadada huyo ambaye kwa sasa amejizolea umaarufu kwenye mitandao ya kijamii, amesema kwa sasa hayupo kwenye mahusiano kutokana na ugumu anaoupata unaotokana na kazi yake hiyo, hivyo huamua kuwa mwenyewe ili kuepuka usumbufu utakaojitokeza.

Maoni