BENKIYA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE

b1
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CBA Tanzania,DK.Gift Shoko akiongea na wateja wa benki hiyo (hawapo pichani) waliohudhuria futari maalumu iliyoandaliwa kwa wateja wa benki hiyo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
b2
Imam Mkuu wa Masjid Ma,Amour Sheikh Issa Othuman Issa akitoa  mawaidha wakati wa futari iliyoandaliwa na benki ya CBA  katika Hoteli ya Serana jijini Dar es Salaam, jana kwa ajili ya wateja wakati wa kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhani.
b3b4b6
Baadhi ya wateja wa benki ya CBA wakipata futari iliondaliwa na benki hiyo katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam .
b7
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CBA,Dk.Gift Shoko  (wa nne kushoto )  na Imam Mkuu wa Masjid Ma,Amour Sheikh Issa Othuman Issa (wa tano) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Maofisa waandamizi wa benki hiyo wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake.

Maoni